Saturday, January 10, 2015

HIII INAHUSU MVULANA NA MSICHANA WALIOJINYONGA KWA PAMOJA BAADA YA WAZAZI KUKATAA WASIOANE



Mkasa huu umetokea huko Congo.
 
Wapenzi hawa wawili waliamua kuchukua jukuma la kujinyonga kwa kujininginiza kwenye mti hadi kufa baada ya wazazi wa mvulana kukataa mtoto wao asimuoe msichana huyo.
 
Baada ya jitihada zao za kuwashawishi kushindikana basi waliamua kuchukua hatua hiyo ya kujinyonga....Wazazi tuwe makini na maamuzi yetu mbele ya watoto

No comments:

Post a Comment