.jpg)
"Wana wa Arusha wasiwe wanyonge, kamanda wao naenda kupambana kwenye uwanja mwingine wa vita lakin wajue tupo pamoja" Alinukuliwa akisema bw. Lema. Hata hivyo alikwepa kujibu swali la mwandishi wa Radio 5 aliyetaka kujua kama pengine ni mbinu ya Lema kukwepa aibu ya kushindwa kwenye uchaguzi huu ikizingatiwa historia yake tata ya utekelezaji wa ahadi zake alizotoa mwaka 2010 na pia ushindani mkali unaomkabili ndani ya chama chake. Imefahamika kuwa wanachama zaidi ya 30 wameshatangaza waziwazi kuchuana na Lema kwenye uchaguzi wa Octoba.
Hii inaweza kuwa ni mbinu ya Lema kukimbia changamoto na kujaribu karata yake mahali pengine
No comments:
Post a Comment